![]() |
| SUSUMILA |
Baada ya kuzungumza naye katika kikao chetu cha udashdash alieleza kuwa hivi sasa msanii huyu mwenye ari ya mchwa amesimamisha bonge la nyumba kule county kilifi ambayo inakisiwa kugharimu hela nyingi tu.
Tulipo muhoji zaidi alisema kuwa alifanya hivyo kutaka kuonyesha wasanii wengine hakuna kitu kisichowezekana unapofanya bidii katika mziki kwani mziki wenyewe unalipa na ukawa na maisha mazuri.pia alisema kuwa familia take inamuhitaji na alifanya hivyo kama jukumu lake kama mtu wa kawaida.
"Ama kweli sililamiki kimaisha bidii yangu ndio imenifanya kuporomosha kitu hiki"
Susumila hivi sasa yuko mbioni kutayarisha video za nyibo zake ambazo hapo awali alikuwa hajazitayarisha.Video inayokuja hivi karibunia ni ile ya wimbo Mikwanja aliyoshirikisha kibzzo.


































