Tuesday, 27 March 2012

NYOTA WA TPF WANG'AA AFRIKA MASHARIKI

HEMEDY
Baada ya mkali wa rap collo kumshirikisha mwanadada Ameelena ambaye alikuwa kwenye mashindano ya Tusker Project Fame(TPF) kwa wimbo wake Hodi hodi ambao unakuja kwa kasi kutokana na fleva mpya ndani yake.
Sasa wasaani wengine ambao walishiriki TPF pamoja na Ameelena hapa na mzungumzia king of swag ambrella aka Hemedy ambaye pia mwikizaji wa filamu amekuja na wimbo wake mpya 'Mombasa Queen'.
MSECHU
 Naye Peter msechu pia anayetoka bongo ameangusha kitu kipya kinachojulikana kama 'Unaniumiza' huku akiwa ameshirikisha Belle.

Sasa ni wazi kuwa wasaani hawawaliokuzwa kwenye TPF wanaonesha jinsi walivyo elimika kimziki kwani nyimbo hizi zote ambazo wametoa ni zakiwango cha juu.

No comments:

Post a Comment