
Hivi sasa mitaani wengi wanawaita wasanii hao wawili “NYERIFICATION” au “djemo
thako" kumaanisha (baba ampiga mama) kwa lugha ya kiswahili.
wasanii hao kutoka kundi la katenga
wametunga wimbo huu kupinga matatizo ya ndoa na kutumia njia mbadala
kusuluhisha matatizo ya ndoa ambayo ni mazungumzo.
Hata hivyo
katenga wanawahimiza mafans wasikize wimbo wao. Huku wakizingatia kuishi kwa
amani na kuheshimu ndoa zao ilikukuza jamii hasa watoto wao.
wanainchi lazma waishi na amani hakuna kutwangana..kaeni chini na monge kwa amani
ReplyDelete