![]() |
diamond |
Jambo hili linawashangaza mafans wake wengi lakini diamond alinukuliwa akisema kuwa"Hivi sasa katika miziki ya kizazi kipya nko juu tu sana na nina amini kuwa hakuna msanii yeyote kwa sasa, anaweza kufika kiwango nilicho nacho.
Msanii huyo aliongeza kuwa bado hajaamua kufanya muziki huo rasmi lakini anafikiria kama unaweza kumletea soko kama ilivyokuwa kwa bongo fleva, ambao umemfanya ajulikane duniani kote.
“Naweza kufanya kila aina ya muziki kwa sababu nina kipaji cha kuimba nyimbo aina zote hivyo endapo nikifikia muafaka naweza kufanya kitu hicho ingawa mashabiki wangu watastuka sana,” alisema.
No comments:
Post a Comment