![]() |
| radio and weasel |
Siku ya jumatatu jioni walizua rapsha kali ndani ya bar moja ijulikanayo kama Hi-Table. Vurumai ndani ya jumba hilo la kujistarehesha lilizuka pale Radio alipomwona mtangazaji wa televisheni Lwasani aka Lubenga Isma.
![]() |
| Lwasani |
Huku watu waliokuwa karibu walibaki wamedua,vita viliendelea huku wafuasi wa Googlfe na Lwasama wakikabiliana vikali lakini vikamuuliwa na walinzi wa baa hio.
Muda mchache baadaye Lwasama alionekana akiwa na majeraha mabaya puani na mdomoni.Inasemekana chanzo cha vita hivyo ni kuwa Lwasama alikuwa ametoa matamshi ambayo haya kuwapendeza wana Goodlfe kwenye show yake.
Baada ya kichapo hicho Radio alimwambia Lwasani amfahamishe Eddy kenzo kuwa watampa huduma kama yake, ikiwa atapata visa ya kuwa uingereza wakati wa sikukuu ya pasaka(Easter).


No comments:
Post a Comment