Thursday, 29 March 2012

GROOVE AWARDS WAWEKA WAZI WASHINDANI

Mashindano ya groove awards hapa nchini kenya imefika katika awamo ya 7 mwaka huu, huku ikiendelea kukuza talanta za wasanii wa nyimbo za injili.
hivi maaajuzi katika ukumbi wa nairobi muesum wanadalizi wa groove awards walitangaza nafasi 29 ambazo wasanii watakuwa wakiania:
Nafasi hizi kama:
Msanii bora wakiume wa mwaka                   
DADY OWEN
Daddy Owen
Ekodydda
Holy Dave
Jimmy Gait
Juliani
Man Ingwe


Wimbo bora wa mwaka
Exponential Potential- Juliani
Furifuri- DK and Jimmy Gait
Ghetto- Ekodydda
Liseme- Sarah K
My Call- MOG
Ololo – Emmy Kosgei

Kundi bora la mwaka
Adawnage
JULIANI
BMF
Kelele takatifu
MOG
Maximum Melodies
Tetete

Album bora ya mwaka
Ebenezer – Mercylinah
Kibali – Gloria Muliro
Liseme – Serah K
Ololo – Emmy Kosgei
Pulpit kwa street – Juliani
Utamu wa maisha – Daddy Owen

wimbo bora Hip Hop
Exponential potential – Juliani
KAMBUA
Ghetto – Ekodydda
Mara hio hio – Bantu and Holy Dave
Mmh baba – Kriss ehh baba
Ni msoo – Kelele takatifu and Holy Dave
Press on – Izo and Holy Dave
EMMY

Video bora ya mwaka
Exponential potential – Juliani
Holy Ghost fire – BMF
My call – MOG
Safari – Adawnage
Umetenda – Kambua
Walking – Alemba and Exodus

 Collabo bora ya mwaka
Fresh and clean – Kevo Juice and Jimmy man
Furi furi – DK and Jimmy Gait
My call – MOG and Juliani
Ni msoo – Bantu and Holy Dave
                                               Walking – Alemba and Exodus
                                               Welwelo – Mr Seed and Danco
Na nyinginezo nyingi huku nchi kama Uganda, Tanzania, Burundi, Rwanda na Sudan ya kusini.
Mafans wote ukiwa unataka kumpigia msanii unaye mwezi kura angalia www.grooveawards.co.ke au www.facebook.com/grooveaward
kumbuka upigaji wa kura unafungwa aprili 27, 2012

No comments:

Post a Comment