Monday, 12 March 2012

MR BLUE KUWA BABA


Msanii toka bongo huyu si mwingine bali ni Mr Blue aka Byser ameeleza kuwa anajitayarisha kuwa baba.

kwani anategemea kupata mtoto na mpenzi wake wa zamani anyejulikana kama Wahda Mohamed.

Habari zinazofikia meza yetu ya ketauexpress ni kuwa binti Wahda tayari ashaanza kuvaa nguo pana pana.
kwa hivyo muda si mrefu ataitwa Dingi.

No comments:

Post a Comment