Friday, 16 March 2012

HIPHOP KALI TOKA BONGO

Mafans wa hiphop kunakitu kipya kwenu toka bongo kwa wakali wa hip hop ambao baada ya ukimya mrefu wamerejea na 'Tupo Kitaa' hii ni ngoma yake CoinMoko akiwa amemshirikisha Jembe aka BouNako kutoka Nako2Nako soldiers.

Wimbo huu umerokodiwa za noizmekah.com records.
Hivi sasa Bounako yuko jikoni kutayarisha mambo makubwa ambayo ana amini yatakuwa makubwa kwenye indusrty ya hip hop afrika mashariki.

"Kama inavoeleweka ma fans wangu m\wanaulizia kichizi mziki so i hit the booth and did ma thang man!Much respect kwa wote wanaonisupport katika movement ya hiphop music" alisema Coinmoko.

No comments:

Post a Comment