Friday, 16 March 2012

LEO MADTRAXX AVUKA BODA

KEKO NA MADTRAXX
Make You Dance’ ndio kibao kipya ambacho kiko njiani toka kwa rapper mkali toka uganda ajulikanaye kama Keko ambacho amemshirikisha msani mkali Madtraxx ambaye amevuma sana hapa nchini kenya hasa kwa kibao 'Chake get down' na nyinginezo.
hivi leo Madtraxx yuko nchini Uganda katika harakati za kuuzindua video ya wimbo huo ambao ulitayarishwa na producer mkali toka nchini Nigeria Clanrence Peters mwezi wa februari Nairobi.
Producer huyu wa Nigeria amekua humu nchini toka 2011 akifanya kazi na wasani kama: Love-child Wyre,  Camp Mulla, Banky W, L-Tido, na Bon’eye.  Basi tukingojea wimbo huu kuna kollabo nyingine kali yao Kenyan band Ma na J Cole wakishirikiana na Missy Eliot toka amerika.



No comments:

Post a Comment