Friday, 16 March 2012

TABIA GANI? AULIZA MR NICE.

Msanii toka bongo huyu si mwingine bali ni Mr Nice aka Lucas Mkenda hivi majuzi alitangaza kurudi kwake ulingoni.
Ujio wake kwa mara ya pili sasa una dhihirisha kuwa mwanzilishi wa densi ya Takeu ambayo ina maana tanzania kenya na uganda uko tayari kabisa hii ni baada ya Mr nice kutoa wimbo wake mpya 'Tabia Gani' ambao umeanza kufanya vizuri katika stesheni mbali mbali za redio afrika mashariki.

wimbo huu mpya wake Mr nice umetayarishwa na producer Lamar na video kutengenezwa na Touch of Karabani chini director Karabani.

No comments:

Post a Comment