Friday, 6 July 2012

MSANII JAQUAR AOKOA

JAQUAR

Msanii wa kizazi kipya Jaquar aamua kumfadhili msichana mmoja katika masomo yake. 
Wawili hawa walikutana katika mitaaa ya mabanda ya mukuru  wakati msanii huyu alikwenda kwa matayarisho ya video yake mpya ya wimbo Matapeli
Msichana kwa jina Jackline Wanjiku alimweleza Jaquar kuwa alipata nafasi katika chuo cha Walimu Cha Sunrise Athi River. Lakini hakuweza  kujiunga na wenzake kutokana na ukosefu wa fedha. Hivyo  basi baada ya msanii huyu kumsikiza jackline kwa maakini aliamua kumsaidia na kumlipia karo kwa masomo yake

No comments:

Post a Comment