Wednesday, 27 June 2012

MR BLUE:MTOTO WANGU HATAKUWA MSANII

MR BLUE

 Endapo kweli mziki ungekuwa zaidi ya parapanda ya mwisho,basi mtoto Herry asingekubali kuondolewa kwenye fungu la wasanii wa kizazi kipya.
Mr.blue aka 'Kabayser' pamoja na mama watoto wake Wahida Mohamed wamesema mtoto wao kamwe akikua hawapendi afanye muziki kama yeye kwakuwa hawapendi awe maarufu.
"Mimi ningependa mwenyezi Mungu amjalie awe mtu fulani ambaye kidogo atakuwa hata kiongozi kusaidia watu,” alinena msanii huyo.
Hata hivyo blue amesema aliamua kumpa jina lake mwenyewe la ‘Herry’ kwasababu ni mtoto wake wa kwanza.
Haya tunamtakia herry juniour maisha mema hapa duniani.



No comments:

Post a Comment