![]() |
RICHIE ONE |
Aliyekuwa wakati mmoja member wa kundi la TMK Wanaume Halisi Rich One,
anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Msimbazi kwa kosa la kutumia
jina la Ali Kiba kuwatapeli mapromota mbali mbali.
Msanii huyo anadaiwa ku-divert simu zinazopigwa kwa namba ya Ali Kiba
na kuzipeleka katika simu yake, baada ya hapo anakubaliana na mapromota
kufanya show na kupokea advance kwa kuwapa namba yake ya mpesa. Siku ya
show promota anajikuta katika wakati mgumu baada ya kutomuona Ali
Kiba.
Meneja wa Ali Kiba, Frank Gonga amethibisha kukamatwa kwa Rich One na kwa kweli imekuwa mchezo kwa mapromota na watu binafsi kufanya mchezo huo ambao umewakandamiza wasanii wengi.hapa ketau Express haturuhusu jambo hili liwatokee wasanii kwani twakuza vipaji na tuana watahadharisha wasanii kuwa wawe macho kwa mapromota feki.
No comments:
Post a Comment