
Kambua pamoja na bwanake Jackson walikaribishwa jukwaani ambako walijiburudisha kwa nyimbo kadhaa za kundi la wanamuziki linalojulikana kama Kayamba Afrika.
Baadhi ya wasanii waliowaburudisha watu kwa nyimbo zao walikuwa Esther Wahome, Mercy Masika na Marsha Mapenzi.
Kati ya wageni walioalikwa kuhudhulia harusi hiyo ni wasanii Alice Kamande, Nancy Kihenia na SK Blue, daktari Amrit Kalsi na Churchil ambaye ni mwigizaji.
No comments:
Post a Comment