Saturday, 25 February 2012

UGOMVI KATI YA JULIANA NA NINCE HENRY

NINCE HENRY
Nince Henry ni mwandishi wa nyimbo kutoka Uganda aliyeingia kwa ulingo wa mziki, jambo linalomfanya yeye kujikuta pabaya na wasanii wengine chipukizi badala ya kukuza sanaa hii mpya.

Inaaminika kuwa Juliana alimwendea Nince ilikumwandikia wimbo na nyimbo mbili 'Sikyakaba' na 'Kanelage' akaziandika Nince Henry. Sikyakaba ilifanyiwa chini ya producer Paddyman unapoiiskiza, yaenda kufanana na wimbo wa Samalie Matovu Omukwano Gunyuma.
Nince akamua kumuita Juliana pamoja na producer wake na wakakubaliana kutozindua wimbo huo na ubaki kama mali ya Nince. Nince hakulipwa kwa kazi hii lakini Juliana na mkurugenzi wake waliahidi kumlipa kupitia wimbo mwingine atakaomwandikia juliana. Nince akaamua kuuzindua wimbo 'Sikyakaba' kivingine.
Tangu hapo Nince amepokea kidole cha lawama kwa kutoa wimbo usiokuwa wake tangu awali.

Akitaka kufafanua ugomvi huo Juliana aliandika kwa ukurasa wake wa Facebook "I have been doing my music quietly n peacefully for a long time and will continue to do so, but obviously some people wont leave me alone in peace. They have tried very many times to involve me in their scandals n see if they can get the best of me but they have not succeeded. All i want to do is sing for my fans that's all, fighting is jus not me. I'm not one of those people who need the 'GET FAMOUS QUICK' scheme to get to the top, God has blessed me with enough." ....Nimekuwa nikifanya miziki yangu kwa utulivu na amani kwa muda mrefu sasa lakini ni kawaida kuwa watu hawanitakii amani. Wamejaribu kila wawezalo ili kunihusisha kwenye ghasia zao lakini bado hawajafaulu. Kile nnacho taka nikuwaimbia mashabiki wangu. Mimi sio mtu wa vita anayetaka kuwa maarufu kwa haraka, Mungu amenibariki na yanayonitosha...
juliana mapema mwaka huu alishirikishwa kwa wimbo Mpita Njia na mwanadada Alicios...Alicios Theluji Collabo na Juliana

No comments:

Post a Comment