Wednesday, 15 February 2012

TANZANITE KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA UBAKAJI

TANZANITE
Kuna tetesi mitaani kwamba msanii Mwingereza Athuman Mwingereza maarufu kama ‘Tanzanite’ amefikishwa kizimbani kwa tuhuma za ubakaji. Msanii huyo alifanya vizuri na ngoma yake ya ‘Kafara’ ambayo ilimletea matatizo na msanii mwenzake Diamond baada ya kudaiwa kutumia moja ya beats zake pasipo na ruhusa.

Tanzanite alikuwa anakaribia kutoa single yake mpya ya ‘Sababu I love you’ hivi karibuni, lakini jinsi mambo yalivyo, yatategemea matokeo ya kesi  hiyo. 

No comments:

Post a Comment