
Uteuzi huo umetangazwa leo (10/02/2012) na Mkurugenzi wa Mambo ya Masoko, Manusha
Sarawan, katika mkutano na wanahabari uliofanyika Hoteli ya Hyatt
Kilimanjaro jijini Dar es Salaam.
Manusha alisema mchakato wa kumpata balozi huyo ulishirikisha wanamuziki wakongwe zaidi ya 130 barani hapa. Muhando anayejulikana kwa nyimbo zake kama Nibebe, Utamu wa Yesu zinazo tumika kama ringtones na wengi Afrika Mashariki.
No comments:
Post a Comment