![]() |
| LADY CONNY |
Wimbo Natambanae ni ufuatilizi wa wimbo wa kwanza ambapo anazungumzia kuhusu mchumba aliyempata na ameridhika kiroho.
KETAU Expresss ilipomuuliza ikiwa anamchumba alisema "Yes yupo na siwezi jifanya kuwa sina boyfriend. Maisha hubadilika na mimi ni mwanadamu hisia ninazo kama mabinti wengine.Awali nilichukia sana kufanya urafiki na mwanaume lakini maisha lazima yaendelee." Msanii huyu amefanya ngoma zake katika studio ya Mwamba Records ilioko kusini mwa mji wa mombasa chini ya producer Nuru, amesema pia mwaka huu atafanya kazi na wasanii wengine na kazi kubwa inakuja ingawaje hakutaka kusema ni wasanii gani atafanya kazi nao.

No comments:
Post a Comment