![]() |
ALI KIBA |
Tetesi zipo kutoka Bongo kwamba kuna beef kati ya wasnii wa muziki wa kizazi
kipya kati ya Ali Kiba na Nassib Abdul aka Diamond.Chanzo cha
beef ni kushtumiana kufuatia vocals katika nyimbo zao.
![]() |
DIAMOND |
Habari tulizonazo kwa sasa zinasema kwamba Ali Kiba anadai Diamond ndiye aliyeanza utata baada ya kufuta sauti yake kwenye rekodi ya Lala Salama ambayo alishiriki awali, ila baada ya hiyo ngoma kwenda redioni hakuskia sauti yake!
Kwa upande wa Diamond yeye anadai kuwa ngoma ya Kiba inayofanya vizuri hivi sasa Single Boy walifanya wote ila mwishowe hakuskia sauti yake na badala yake akaskia sauti ya Lady Jay Dee!
Diamond sasa amezindua video mpya ya wimbo Mawazo ambayo imegharamia zaidi ya milioni tatu kutengenezwa na kampuni ya Visual Lab: Next Level chini ya usimamizi wa Adam Juma.
Diamond sasa amezindua video mpya ya wimbo Mawazo ambayo imegharamia zaidi ya milioni tatu kutengenezwa na kampuni ya Visual Lab: Next Level chini ya usimamizi wa Adam Juma.
No comments:
Post a Comment