Monday, 13 February 2012

JAFFARAI PIA KUJITOA

JAFFARAI
Wiki iliyopita, tuliona tuzo za KILI zikipata pigo pale msanii Dully Sykes kutangaza kuwa hataki kuhusishwa tena katika tuzo hizo. 

Msanii mwingine wa Bongo kwa jina  Jaffarai, mwenye pini linalofanya vizuri kwa hivi sasa (Mcharuko),  ametangaza kuwa yeye pia atajitoa kwenye tuzo hizo kwa miaka ijao, hata haivyo Jaffarai hakutoa sababu zaidi ya kusema ataliweka hilo wazi mbele ya wapenzi wake hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment