Sunday, 1 April 2012

BONGE LA KOLABO KATI YA PREZZO NA 50 CENT

PREZZO

50 CENT
Manbo yanayendelea kumwendea sambamba msani toka Kenya Jackson Makini aka Prezzo ambaye alirudi ulingoni hivi maajuzi na wimbo wake 4sho 4shizzo na Macity ma town akiwa amemshirikisha mkali toka mombasa Cannibal na kuanzisha kundi lake mpya la mziki akiungana naye Cannibal.
Habari za hivi punde kuhusiana na Prezzo ni kuwa baada ya kutaka kufanya kollabo na 50 cent msani mkali wa rapp toka marekani kwa muda mrefu.Ndoto yake sasa imetimia na amefanya wimbo mmoja na 50cent unaojulikana kama 'The star' na wakati huu video ya wimbo huu baado una tengenezwa  USA.
Kazi hii inamfanya Prezzo kuwa msanii wa kwanza Afrika mashariki kuangusha kolabo kali kama hii na msanii kama 50 cent.

No comments:

Post a Comment